Malenga wa Tanzania

Burudika nasi

Saturday, November 24, 2018

4:11 PM 0
Waziri ni langu jina, maadili ni fukuto
Si Waziri tu wa jina, avutaye misokoto
Ni kijana muungwana, kapita vyote Vidato
Mbobevu wa maana, wa elimu na watoto.

Saturday, October 6, 2018

Karibuni Malenga

7:35 PM 0
Karibuni Malenga
Karibuni malenga na wapenda mashairi kwenye blogu yetu